ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 7, 2017

WAPINZANI WAILAUMU SERIKALI YA RWANDA KWA KUSEMA KUWA MSAMAHA WA PAPA FRANCIS KUHUSU MAUAJI YA ALAIKI RWANDA, UNATOSHA.

Mauaji ya Rwanda.
Serikali ya Rwanda imetupilia mbali baadhi ya madai ya wakereketwa ambao awali walisema kuwa, Papa Francis hajaomba msamahama ipasavyo kuhusu ya namna Kanisa Katoliki duniani lilivyohusika katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda. 

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Rwanda Louise Mushikiwabo amesema kuwa, hatua aliyoichukua kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki ni ya hekima kubwa.
 
 Papa Francis
Hii ni baada ya kiongozi huyo wa kidini kuliomba taifa la Rwanda msamaha kwa kuhusika kwake katika mauaji hayo ya mwaka 1994 ambayo zaidi ya watu milioni moja waliuawa nchini humo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.