Kampuni binafsi za migodi zimekuwa zikikiuka mikataba ya kazi na pia zikiwakandamiza na kuwanyanyasa wafanyakazi.
- Jeh ni lini Serikali itafanya ukaguzi wa mikataba kwa kampuni zinazofanya kazi migodini?
- Jeh kwanini Serikali isiamue kuwaondoa nchini waajiri wakorofi kwa unyanyasaji wanaofanya?
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.