ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 27, 2017

UNYANYASAJI WA WAFANYAKAZI MIGODINI NI MOJA YA MASUALA YALIYOJADILIWA HII LEO BUNGENI.


Kampuni binafsi za migodi zimekuwa zikikiuka mikataba ya kazi na pia zikiwakandamiza na kuwanyanyasa wafanyakazi. 

- Jeh ni lini Serikali itafanya ukaguzi wa mikataba kwa kampuni zinazofanya kazi migodini?

- Jeh kwanini Serikali isiamue kuwaondoa nchini waajiri wakorofi kwa unyanyasaji wanaofanya?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.