Aidha
amesema ukame umepelekea Somalia kukumbwa na baa la njaa ambapo raia
milioni 12 wa nchi hiyo watahitajia misaada kuanzia mwezi Julai. Anasema
familia nyingi zinalizimika kutumia maji machafu kufuatia uhaba wa mvua
uliossababisha mito na visima kukauka.
Taarifa zinasema eneo lililojitenga la Somaliland lina hali mbaya zaidi kwani hakujashuhudiwa mvua eneo hilo tokea mwaka 2015. Hivi sasa mifugo mingi imefariki katika eneo ambalo utajiri wa watu ni mifugo.
Mwezi Februari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alisema baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen huku akisema hali ya Sudan Kusini ni mbaya sana.
Alibainisha kuwa watu zaidi ya milioni 20 Sudan Kusini , Somalia, Yemen , na Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wanakabiliwa na njaa na hawana uhakika wa kupata chakula. Alisema mashirika ya kutoa misaada yanahitaji angalau dola bilioni 4.4 ifikapo mwisho wa mwezi ulopita Machi ili kuepuka maafa.
Aidha Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF
limesema, watoto takriban milioni 1.4 nchini Nigeria, Somalia, Sudan
Kusini na Yemen wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa.Taarifa zinasema eneo lililojitenga la Somaliland lina hali mbaya zaidi kwani hakujashuhudiwa mvua eneo hilo tokea mwaka 2015. Hivi sasa mifugo mingi imefariki katika eneo ambalo utajiri wa watu ni mifugo.
Ukame Somalia |
Mwezi Februari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alisema baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen huku akisema hali ya Sudan Kusini ni mbaya sana.
Alibainisha kuwa watu zaidi ya milioni 20 Sudan Kusini , Somalia, Yemen , na Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wanakabiliwa na njaa na hawana uhakika wa kupata chakula. Alisema mashirika ya kutoa misaada yanahitaji angalau dola bilioni 4.4 ifikapo mwisho wa mwezi ulopita Machi ili kuepuka maafa.
Katika taarifa, UNICEF imetoa wito kwa jamii ya kimataifa ichangie dola za kimarekani milioni 255 ili kukabiliana na hali hiyo
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.