ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 17, 2017

VACFT YAITUNUKU CHETI 'KAZI NA NGOMA' YA JEMBE FM.

 Aksante sana kwa Victory Against Cancer Foundation Tanzania kwa kututunukia cheti cha Uhamasishaji team #KAZINANGOMA ya @jembefm kupitia zoezi la hivi karibuni kupima, kuchunguza afya na ushauri wa tiba kwa Afya ya magonjwa ya kansa na moyo kulikofanywa na Madaktari Hospital ya Rufaa ya Bugando eneo la Bugarika jijini Mwanza. 

Mtangazaji wa kipindi cha 'Kazi na Ngoma' toka Jembe Fm Mwanza Mansour Jumanne (kulia) akipokea cheti cha kutambulika kama mmoja ya wanaharakati waliosaidia zoezi la Upimaji na Uchunguzi wa Afya kwa wanannchi kata ya Bugarika iliyopo wilayani Ilemela jijini Mwanza @kennyhirly (wa pili toka kulia)  @Tinomihayo toka (wa tatu) #Vacfoundation_tz @chrissthedj (kushoto) Picha by @gsengo Aksante #jembefamily Kwa sapoti ya pamoja.

Picha ya pamoja.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.