ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 27, 2017

SIKU YA PILI WALIOFUKIWA MGODI WA NYALUGUSU GEITA HIKI NDICHO KINACHOENDELEA.

Jitihada zikiendelea za uokoaji
IKIWA ni siku ya pili, takribani saa 36 sasa zimetoweka tangu kutokea kwa tukio la watu 14 kufukiwa na kifusi cha udongo kwenye machimbo ya madini mgodi wa RZ Nyarugusu wilaya ya Geita mkoani Geita, na kukiwa hakuna taarifa zozote juu ya hali za wanadamu hao walio chini ya ardhi umbali wa mita 38, Jembe Fm kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA inawasiliana na Mwandishi wa Habari Joel Maduka aliye katika eneo la tukio kupata hali halisi yakile kinachoendelea.

1.Zoezi la ufukuaji linaendeleaje?
2.Mawasiliano na watu hao walio chini ardhini Vipi! yamepatikana?
3.Jeh! kuna uhakika wowote kwa ndugu hao kutoka salama?
4.Ni muda gani zoezi hilo litakamilika?

Haya yanajibiwa kupitia taarifa hii:-BOFYA PLAY KUSIKILIZA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.