ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 26, 2017

POLE PAM D KWA KUPOTEZA BABA MZAZI.

Msanii wa Bongo Fleva, Pam Daffa 'Pam D' amefiwa na baba yake mzazi jijini Dar es salaam Jana.

Pam D alisema mzazi wake alikuwa mmoja kati ya watu muhimu katika kipaji chake cha muziki, kwa kuwa na yeye aliwahi kuwa msanii.

Kupitia mandao wa Instagram Pam D ameandika "R.I.P Papaa, my lovely father kipenzi changu rafiki yangu mkubwa, mtani wangu mkubwa, umeondoka umeniacha mwenyewe, nilitamani vitu vingi uje uone kutoka kwa mwanao"

"Nani atanipigia gitaa tena Papaa, maumivu uloniachia na pengo uliliniachia hakuna wa kuliziba. Umeondoka mapema mno papaa, Mungu akuweke mahala pema peponi" Aliongeza Pam D.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.