ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 19, 2017

AJALI YAUA WA 5 MBEYA

Watu wawili wanahofiwa kufa na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari matatu kugongana  katika wilaya ya  Mbalazi mkoani Mbeya.

Ajali mbaya imetokea maeneo ya Mswiswi Mbeya ajali imehusisha magari 3 moja Basi kampuni ya Taqwa ikitokea Dar kuelekea na Fuso lilikuwa limebeba ndizi ikitokea Mbeya.

Chanzo cha Ajari ni Fuso ilikuwa ina Overtake lori Mara Basi nayo ilikuwa imeshafika ndipo ajali ilipotokea Dereva wa basi alifariki dunia pamoja na dereva wa fuso na tingo wake majeruhi walipelekwa Hospital lakini mpaka Sasa Hospital wamefariki watu wawili mwanamke mmoja na mwanaume mmoja wote raia wa nchi ya Demokrasia ya watu wa Congo. 

M/mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi AMIN  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.