ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 4, 2016

TIMU YA MKOA WA MWANZA YA MPIRA WA KIKAPU (THE ROCK CITY TEAM) YAELEKEA JIJINI ARUSHA KWENYE MASHINDANO YA TAIFA CUP

Timu ya mpira wa kikapu ya Mkoa wa Mwanza (The Rock City Team) imeondoka leo kuelekea katika mashindano yaTaifa Cup yanaoanza leo tarehe 4- 11 Desemba 2016 katika viwanja vya Soweto na Sheik AmriAbeid. Timu yetu ina jumla ya wachezaji 12 na viongozi 3 imeondoka kwa makundi 2 kutokana na changamoto zilizojitokeza, leo wameondoka wachezaji 6 nakocha 1 na kesho tunatarajia wachezaji 5 kuondoka huku mchezaji mmoja (Sollomon Mahatane) ataungana na wenzake akitokea jijini Dar. 

Sababu ya kuondoka kimakundi ni kutokana na waandaaji wa mshindano haya ambao ni Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) pamoja na jiji la Arusha kubadilisha tarehe pamoja na taratibu za awali zilizokuwepo. 

Awali walitutumia barua za mwaliko wa ushiriki zikionesha mashindano yataanza tarehe 01 Desemba 2016 huku wakiahidi kutoa chakula na malazi kwa timu zote huku timu zikitakiwa kujigharamia nauli ya kwenda na kutudikatika kituo mashindano. 

Kutokana na mchanyiko huo wakubadili tarehe na pia kutuambia timu zijigharamie chakula na usafiri huku ikiwa imebaki siku moja, imesababisha baadhi ya wachezaji kutopata ruhusa kutoka kwa waajiri wao na pia sisi viongozi wa timu ya mkoa kuwa na changamoto ya kutafuta pesa kwa ajili ya chakula kitu ambacho kimetupa wakati mgumu.

Lakinipamojanachangamotohizo, timuimewezakusafirikwamakundina tuna imaniitaendakufanyavizurikwanikatikamashindanohayakamailivyokuwamwakajanatulipokuwawashindiwa pili nyumayatimuyamkoawa Mbeya yaliyofanyikaMkoani Dodoma. Wachezajiwalioondokaleoni Vincent Shinda (Nahodhamsaidizi), Ahmed Mbega, John sapaPastory, FredyLuyenze, MponjoliBasalilena Mathias Ezekiel.HawawakiwanaKocha Paschal nkuba. Tunaotarajiwaondokekeshonipamojananahodha Amon DibaSembelya, Shomari Almas (ambaye pia nikaimukatibumkuuwa MRBA), ChachaMukoloTubert, RamadhaniNuru, Soti Peter na Peter Magere. 

Baadhiyaviongozitutaungananatimukwanitumebakihapamkoanimwanzatukitafutapesakwaajiliyamahitajiyatimu. TunatarajikuonananaMkuuwaMkoawaMwanzaMh. John MongelailiawezekutusaidiakupatapesakwawadaumbalimbaliwamkoawaMwanza, kwanimpakasasatunaitajiangalaushilingimilionitanoilitimuiwezekushirikivizuri. 

Pia hatunabudikuwashukuru Basketball Veterans Family wakiongozwanaMh. Dkt . Angeline Mabula (NaibuWaziriwaArdhi), Mussa K. Mziya (Raiswazamaniwa TBF), John Walter Kabuzi (Mkurugenziwa Blue Chip Incorparation) nawenginekwawamewezakuchangiakiasiambachompakasasatimuimewezakuelekea Arusha, lakini pia Kampuniya MOIL kupitiakwamkurugenzi wake NdgAltafHiranMansoorkwakuchangiamafutaambayotumewezakuwekakatikamagariyanayobebawachezaji. 

 Imetolewana: KizitoSoshonBahati KochaMsaidizi

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.