ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 2, 2016

MBUNGE WA ARUSHA MJINI SASA NI MPAKA MWAKANI

Familia ya Mbunge wa Arusha Mhe.Godbless Lema (mke wake na watoto) wakimuaga baba yao baada ya kukosa dhamana tena leo na kurudishwa mahabusu.

Kesi yake itatajwa tena February 02, mwaka 2017.

Hii ni kusema kuwa msimu huu wa sikukuu Lema hatosherehekea pamoja na familia familia yake. Atakuwa peke yake gerezani, na familia itakua na upweke wa kumkosa baba. What a painful situation.

Baadhi ya wanachama wa chama anachotoka Mbunge huyo (CHADEMA) Wamesikika wakisema kuwa hawaja kata tamaa juu ya hatua hiyo "Safari ya demokrasia si rahisi, Mungu ipe uvumilivu familia hii, na umjalie Lema afya njema gerezani" alisikika mmoja wao.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.