Vita ya Makonda na Sirro bado mbichi, Mikutano ya Prof. Lipumba Lipumba na Seif yawaweka polisi matatani, Machali aelezea sababu za kuhamia CCM.
Bosi TRA naye akalia kuti kavu, Hakimu amtolea uvivu tundu Lissu, TRA yapoteza Sh. Bil. 400, Waziri awasha moto elimu. Pata undani wa dondoo hizi hapa.
Lissu amponza wakili wa serikali, Sakaya kumlipua Maalim Seif, Bulaya: Wasira kalee wajukuu, Lwandamalila sasa rasmi Yanga.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.