...Katibu Mkuu wa NDFA Gilbert Daddy akizungumza na wachezaji wa timu ya wasichana ya Marsh Queens Academy baada ya kuwasili ikitokea Dodoma katika muendelezo wa ligi inayoendelea..... Usiku huu na kila siku saa 21:00 - 22:00 kasoro siku ya ijumaa ambapo #SPORTSRIPOTI huruka saa 20:00 - 21:00 Timbwirika na #SPORTSRIPOTI ya JEMBE FM 93.7 Mwanza ukiwa na @elikanamathias Mwalimu Ahmad Ally ni Head Coach wa Marsh Academy hapa anatoa tathimini ya mchezo dhidi ya Baobao ya Dodoma ambapo timu hiyo ilipata ushindi wa 1-3 ugenini.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.