ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, November 7, 2016

MVUA KUBWA YAHARIBU MAKAZI YA WATU 700 UKEREWE MKOANI MWANZA.

 Watu zaidi ya 700 wamepoteza makazi yao baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo kubomoa makazi yao huko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.

Paa za makanisa na misikiti pia yameezuliwa nayo miti na mazao imesombwa na maji huku mifugo ikithiriwa yakiwemo makazi yao.

Wito umetolewa kwa watu binafsi, taasisi na mashirika mbalimbali kujitokeza na kutoa msaada kwa wahanga hao.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.