ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, November 15, 2016

MTANZANIA AIBUKA MSHINDI WA NNE KATIKA SHINDANO LA UPISHI DUNIANI.

President and CEO of WORLD FOOD CHAMPIONSHIP Mr Mike Mc Cloud akimkabidhi tuzo Uisso
Usiku wa kuamkia leo, Mkurugenzi Mtendaji wa World Food Championships Mike Mc Cloud, alimtangaza Uisso kuwa mshindi wa nne katika shindao hilo.
Chef Uisso ambaye ni mpishi mwandamizi katika mgahawa wa Afrikand uliopo Kinondoni, anaandika historia ya kuwa Mwafrika wa kwanza kuchaguliwa kushiriki fainali za mashindano hayo na kuibuka kuwa mshindi wa nafasi hiyo huku akiwabwaga wapishi 21 kutoka hoteli kubwa na maarufu duniani walioshiriki fainali hizo zilizoanza Novemba 8 mwaka huu.
Chef Uisso kikazi zaidi.

Uisso akiwa na Madam Julie Haunn the National Coordinator WORLD FOOD CHAMPIONSHIP

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.