ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 18, 2016

MBUNGE ESTER BULAYA ASHINDA KESI YA UCHAGUZI DHIDI YA WASSIRA.

MARA: Mbunge Ester Bulaya (CHADEMA) ameshinda rufaa ya kupinga matokeo yake ya ushindi iliyokatwa na aliyekuwa mgombea wa Jimbo hilo na Waziri Mstaafu, Steven Wassira.

Kesi hiyo ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, lakini ilikuwa ikisikilizwa mjini Musoma, Mara.

Moja ya madai ya Wassira kupinga ushindi, alidai kuwa Bulaya hakujaza fomu ya kuonyesha gharama za kampeni kulingana na sheria ya uchaguzi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.