ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 17, 2016

MAMA SAMIA SULUHU NDANI YA CHOMBO TAYARI KWA SAFARI YA KUELEKEA UKEREWE.

 Makamu Rais Mama Samia Suluhu Hassan yuko mkoani MWANZA kwa ziara ya kikazi ya siku 6 ambapo baada ya kuzindua miradi ya afya, elimu jana amefunga safari kuelekea kuweka jiwe la msingi katika mradi mkubwa wa maji wilayani UKEREWE.
PICHA ZOTE NA ZEPHANIA MANDIA/GSENGO BLOG






MAMA SAMIA HASSAN  SULUHU.MAKAMU WA RAISI WA JAMUHURI YA TANZANIA TAYARI KWENYE MELI YA MV NYAHUNGE KUELEKE WILAYANI UKEREWE MKOANI MWANZA KWA ZIARA 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.