ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 14, 2016

TUTAKUKUMBUKA KWA MENGI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE.

Mwalimu alitaka kustaafu mwaka 1975, watu wakamgomea, mwaka 1980 akataka kung'atuka, watu wakamgoea pia wakihofia itakuwaje bila mwalimu,1985 pia pia waka mgomea,mwalimu aka wakatalia akang'atuka kwa lazima.
Mambo matatu yaliyo mfanya mwl. angatuke madarakani.
1.Mwalimu alijua kuwa yeye ni binadamu anaweza kufa wakati wowote.
2.Mwalimu alijua kuwa akifa akiwa madarakani(raisi), yoyote atakae kuja baada yake atakufa akiwa raisi(hatong'atuka).
3.Mwalimu aliamini kuwa Tukibadirishana uongozi,mara tatu nne hivi,tutajenga utamaduni wa kuachiana madaraka.
R I P mwal. J K Nyerere.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.