ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 7, 2016

TAASISI YA UTT-PID YACHANGIA MAAFA KAGERA

UTT-PID Maafa Kagera Ully MtebeMsajili wa Hazina Ndugu Lawrence Mafuru (katikati) akimsikiliza mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa UTT –PID, Ndugu Uli Mtebe wakati akielezea shughuli za Taasisi hiyo.
dsc_0722Msajili wa Hazina Ndugu Lawrence Mafuru akipokea mfano wa Hundi kutoka kwa wakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa UTT – Projects Ndugu Uli Mtebe  na Afisa Masoko wa UTT Projects Bi. Kilave Atenaka kiasi cha shilingi milioni kumi kwa niaba ya Kamati ya Maafa Bukoba chini ya ofisi ya Waziri Mkuu.
dsc_0725Msajili wa Hazina Ndugu Lawrence Mafuru akipokea mfano wa Hundi kutoka kwa mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa UTT – Projects Ndugu Uli Mtebe kiasi cha shilingi milioni kumi kwa niaba ya Kamati ya Maafa Bukoba chini ya ofisi ya Waziri Mkuu. Kulia ni Afisa Masoko wa UTT Projects Bi. Kilave Atenaka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.