ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 6, 2016

KIMBUNGA KIKALI CHAIPIGA HAITI NA KUSABABISHA UHARIBIFU MKUBWA.

Watu wakitembea barabarani kusaka mahala pa kwenda kujisitiri na kupata msaada mara baada ya kimbunga kikali kilichoikumba nchi ya Haiti mnamo tarehe 4 mwezi Octoba 2016.
Watu wakisaidizana kuondosha downed power line to allow vehicles to pass in Petit Goave, Haiti on Oct. 4. Matthew slammed into Haiti's southwestern tip with howling, 145 mph winds Tuesday, tearing off roofs in the poor and largely rural area, uprooting trees and leaving rivers bloated and choked with debris.
Wanawake na watoto wameonekana barabarani wakihama toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine huku wakiwa wamejisitiri na masinia pamoja na masufuria na si miamvuli ambayo haiwezi kumudu hali ya hewa kwani hupeperushwa na upepo na kuharibiwa kabisa.
Raia wameonekana kwa wingi barabarani wakirejea kwenye makazi yao mara baada ya hali kuonekana ya afadhali kiasi.
Upepo mkali umevuma ukipeperusha minazi na miti yenye nguvu.
Baada ya kaya yake kuharibiwa vibaya mwanamke huyu imembidi kutafuta mbinu mbadala ya kujiokoteza mali zilizo tapakaa mitaani na kunasa kwenye kona mbalimbali miferejini. 
_91539114_mediaitem91539113
Maelfu ya watu wamepoteza makazi yao na walau kumi wamekufa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.