ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 31, 2016

KAULI YA KWANZA YA RAIS MAGUFULI KWA KENYA.

k-1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameomba Wakenya kuja kufanya biashara Tanzania.
Ameyasema hayo akiwa katika ziara ya siku mbili nchini humo na kuwaeleza kuwa wanaweza kuja kufanya biashara hata leo.
“Ninawakaribisha tena Wakenya wote wanaotaka kufanya biashara Tanzania, waje hata leo” amesema Magufuli. Dkt Magufuli yupo jijini Nairobi, katika ziara yake ya kiserikali ya siku mbili nchini humo.
k-2
Hapa ni picha za mapokezi yake nchini humo.
k-5
k-6
Rais Dkt Magufuli akisalimiana na naibu rais wa Kenya Mh. Willam Ruto

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.