ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 21, 2016

BOMOA BOMOA YAKUMBA NYUMBA 150 DAR, VITA KUKABILI NJAA YATANGAZWA, SERIKALI YAREJESHA SH 8,500 KWA WANAFUNZI VYUO VIKUU.


Bomoa bomoa yakumba nyumba 150 Dar, Vita kukabili njaa yatangazwa, Serikali yarejesha sh 8,500 kwa wanafunzi vyuo vikuu. Pata undani wa dondoo hizi za magazeti ya leo hapa.


Serikali yatangaza ukame na njaa, majambazi hatari wauawa bunduki 7 zakamatwa, Makada 10 wavuliwa uanachama wa CCM. Habarika na dondoo hizi za magazeti ya leo hapa. 

Mkurugenzi ampigisha deki mwalimu, Madeni ya Mbowe yaitesa CHADEMA, Bunge laigomea serikali kisa posho. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.