Pichani mshindi wa kinyang'anyiro hichoMkenya Huku mfungwa Mtanzania akinyakua nafasi ya pili kwenye kinyang'anyiro cha kusaka Miss Prison nchini humo ..... Sasa wabongo nao mate yawatoka eti - watamani mfumo huo.
Kiu yao ni kuona Mamlaka husika kuona haja ya kuwa na utaratibu kama huo kwa magereza zetu hapa nchini Pia #KAZINANGOMA ya JEMBE FM imezama kwa undani zaidi kujua Mtanzania huyo ana kesi gani, anatoka mkoa gani, na mengineyo.
Tumezungumza na msemaji mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Tz kafunguka zaidi sauti yake inasikika hapo chini.....
Kiu yao ni kuona Mamlaka husika kuona haja ya kuwa na utaratibu kama huo kwa magereza zetu hapa nchini Pia #KAZINANGOMA ya JEMBE FM imezama kwa undani zaidi kujua Mtanzania huyo ana kesi gani, anatoka mkoa gani, na mengineyo.
Tumezungumza na msemaji mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Tz kafunguka zaidi sauti yake inasikika hapo chini.....
Mtanzania anayesadikiwa ni
mfungwa uko nchini Kenya ameweza kujishindia nafasi ya pili ya
mashindano ya ulimbwende ya Langata Miss Prison 2016, Mashindano hayo ufanyika kila Mwaka nchini Kenya kwa wafungwa
Wanawake ambapo huwa ni Utaratibu wao wa kila Mwaka .
Ata hivyo Mtanzania huyo ambaye jina lake
halijaafahamika vyema Inasadikiwa ni mwenyeji kutoka mkoani
Arusha ambaye anayeshikiliwa nchini Kenya Katika gereza la Langata uku ikisadikiwa
anakabiliwa na tuhuma za kukamatwa na dawa za kulenvya nchini humo .
Akizungumza na GSENGO BLOG kupitia Jembe fm, Msemaji wa Jeshi la Magereza nchini Tanzania Lukas
Mboje, amethibitisha kuwepo kwa Mtanzania huyo aliyeshinda nafasi ya pili katika mashindano ya Ulimbwende kwa
wafungwa wanawake nchini Kenya.
“Wenzetu wa Magereza ya Kenya wanautaratibu huo wa Miss
Prison ambao hufanyika kama sehemu ya ya kuwapa Entertainment, lakini pia ni
moja ya utekelezaji wa Urekebishaji kwa
Wafungwa waliopo Magerezani,
BOFYA PLAY KUMSIKILIZA.
BOFYA PLAY KUMSIKILIZA.
Lakini Mashindano kama haya yanawafanya wafungwa wanawake
kuwa na wao wana haki sawa kama watu wengine walioko Uraiani ijapokuwa wao wapo
magerezani kutokana na ukinzani wa Sheria,alisema Lukas Mboje.
Hata hivyo Msemaji huyo amesema pia Utaratibu kama huu
umekuwepo hata kwa wafungwa wa ndani kwetu
Tanzania ,ijapokuwa matukio yao yamekuwa hayarushwi katika vyombo vyetu
vya habari kutokana na sheria ya Magereza inayowazuia kuchukua matukio hayo
(Prison Act 1967).
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.