ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 8, 2016

TANGAZO NA PICHA YA MTUHUMIWA HERMAN WAHEKE KERARYO ANATAFUTWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI.

ANATAFUTWA KWA TUHUMA ZA WIZI

Herman Waheke Keraryo anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kugushi nyaraka na Hundi ya fedha ya Kampuni ya La Kairo Investiment Ltd ya Jijini Mwanza na kuiba amefunguliwa Jalada (RB) MW/IR/5446/2016 MWANZA.

Mkurugenzi wa Kampuni ya La Kairo Investiment Ltd anawaomba wananchi wanaomfahamu na watakao muona mtu huyo hapo juu kwenye picha watoe taarifa haraka kwake au katika Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu ili kuwezesha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo.

Zawadi nono ya fedha itatolewa kwa mtu ambaye atatoa taarifa itakayowezesha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo.

Wasiliana kwa simu no. 0786 959 400/, 0783 778 778, 0684 005 000 au toa taarifa Kituo cha Polisi kilicho karibu nawe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.