ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, September 5, 2016

OZONA MISS LAKE ZONE 2016 WATEMBELEA JEMBE FM MWANZA.


Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016 wakiwa katika pozi kwenye Red Carpet ya Jembe Fm leo ikiwa ni ziara ya kukitembelea kituo hicho cha redio jijini Mwanza.
Kwa umakini warembo hao walipata nafasi kuzijua shughuli zinazofanywa na kituo.
Another angle ya warembo ambao fainali watakutana kwenye jukwaa moja Rock City Mall Mwanza jumamosi hii ya tarehe 10 September 2016.
Smile.
Meza kuu ya Jembe Fm Mwanza na warembo wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016.
Producer wa matangazo ya Jembe Fm Oxy Okeleky akitoa maelezo jinsi ya utendani wa shughuli zake ndani ya kituo cha Redio Jembe Fm Mwanza mbele ya Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016 ambao watakutana katika fainali kwenye jukwaa moja jumamosi ya terehe 10 September 2016 Ukumbi wa Rock City Mall Mwanza.
Sasa ni zamu ya kugundua vipaji vingine vya sauti na maufundi ya kucheza na sauti kwa warembo hao.
Ndani ya chumba cha kutia sauti.
Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016 walitinga pia ndani ya studio za Jembe Fm na kukuta  kipindi cha Kazi na Ngoma kikiwa hewani.
Mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Kazi na Ngoma Mansour Jumanne akitoa maelezo kwa Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016 jinsi shughuli zinavyofanyika.
Maelezo Kwa kina zaidi....
Timu ya Kazi na Ngoma ikiwa katika Picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Ozona Dr. Thobias Mkina (kushoto kwa walioketi mbele) na kulia ni G Sengo kisha nyuma Mwaka mzima na Dj Scorpion na Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016.
Balozi wa Jembe Fm ambaye ni Rais wa TMC (Team Maua Classic) Bob White Pamba (katikati) akiwa  Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016
Balozi wa Jembe Fm ambaye ni Rais wa TMC (Team Maua Classic) Bob White Pamba (katikati) akiwa  Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016
Viwango ni baadhi ya washiriki  kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016
Dj Scorpion toka Jembe DJZ akiwa katika pozi (katikati) na Warembo washiriki wa kinyang'anyiro cha Ozona Miss Lake Zone 2016.
David ni cameraman wa Flora Talent Promotions naye kanaswa na picha la kibabe.
Ni chini ya udhamini wa ..........

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.