Makubaliano kati ya ZamZam Motors na kampuni ya Ozona ambae ndie mdhamini mkuu wa Miss Lake Zone 2016, ilikua ni malipo ya awali Milioni tatu na laki tano pesa taslimu na cheki ya pesa yenye thamani ya shilingi milioni sita na laki moja ila akaunti ya fedha ilioandikiwa cheki hiyo haikua na salio lolote.
Hivyo kupelekea kuchukua hatua ya kulikamata gari hilo. Baada ya sakata hilo kufikia hapo Jembe Fm kupitia kipindi chake cha #SPORTRIPOTI KINACHORUKA KILA SIKU ZA SAA 3 KAMILI USIKU HADI 4 KAMILI, KASORO SIKU YA IJUMAA AMBAPO KIPINDI HICHO HURUKA SAA 2 USIKU HADI 3, ILIWASAKA WADAU WOTE ILI KUWEKA MAMBO HADHARANI NA HIKI NDICHO WALICHOSEMA.
BOFYA PLAY KUSIKILIZA
Akifanya mahojiano na waandishi wa habari siku alipotwaa taji la Miss Lake Zone 2016 na kukabidhiwa gari hilo. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.