ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 6, 2016

YALIYOJIRI KATIKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI LEO September 6, 2016


Je, ni lini serikali itakamilisha ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Shinyanga? Naibu waziri Selemani  Jafo akitolea ufafanuzi swali mbunge Azah Hamad; 

 Tatizo la Maji katika jimbo la Manyoni Mashariki.Je, ni lini serikali itatua tatizo la uhaba wa maji katika  jimbo la Manyoni Mashariki. 


Kwanini Serikali isifute michezo shuleni? Waziri Nape Nnauye akitoa ufafanuzi wa  swali  mbunge wa Kilolo Mhe.Venance Mwamoto. 


Soko la zao la Tumbaku. Je, ni lini serikali itasaidia upatikanaji wa soko wa zao la tumbaku kwa wakulima wa mkoani Mara?


 Je, ni lini serikali itaboresha vituo vya afya vya jeshi? Naibu waziri wa afya Hamisi Kigwangalla ajibu swali la mbuge Saada Mkuya. 


 Je, kwanini serikali imeshindwa kujenga mahakama  katika jimbo la Mbagala? Waziri Mwakyembe ajibu swali mbunge Issa Mangungu; 

Je, serikali inafikiria nini kuhusu kutoa elimu kwa umma kuhusu simu feki? Waziri Prof.Mbarawa ajibu swali la mbunge Mahonda Mhe.Bahati Abeid.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.