ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, August 29, 2016

MAGAZETI YA LEO:- MASWALI MAGUMU KIFO CHA POLISI, LIPUMBA, SAKAYA WAFUKUZWA CUF, JPM KUKUTANA NA LOWASSA VIONGOZI CHADEMA WANUNA


Marufuku kuuza ardhi za kimila, Maswali magumu kifo cha polisi, Lipumba, Sakaya wafukuzwa CUF, JPM kukutana na Lowassa viongozi CHADEMA wanuna, Mgeja:  Magufuli ashauriwe.Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.


Siri JPM kukutana na Lowassa yatajwa, Mbunge lema aendelea kugoma kula, Lowassa , JPM waibua mazito,  Mrema: Tuyapuuze maandamano ya UKUTA, Mbowe: UKUTA upo pale pale. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.

CCM: Lowassa ni muungwana, Lissu: Mamlaka ya Rais yana ukomo, Ndege 11 Dar hatarini kupigwa mnada,Polisi wadaiwa kuua mahabusu kwa kipigo, Bunge la Afrika Mashariki la ridhia Kiswahili kutumika kama lugha rasmi. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.