ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 19, 2016

MAGAZETI YA LEO:- MAJALIWA:- UKAGUZI WA WANAFUNZI HEWA UFANYIKE NCHI NZIMA, BIASHARA YA MKAA YAPIGWA MARUFUKU, SERIKALI KUHAMIA DODOMA KWA AWAMU


SIMU.tv: Pluijm awatuliza Yanga, Serikali kuhamia Dodoma kwa awamu, Salamu ya Maalim Seif yabamba mitandaoni nchini. Pata undani wa dondoo za magazeti ya leo hapa.

SIMU.tv: Serikali kuhamia Dodoma kwa awamu, Majaliwa: Ukaguzi wa wanafunzi hewa ufanyike nchi nzima,huduma mabasi ya mkoani kusitishwa, biashara ya mkaa yapigwa marufuku, Lema atajwa kummg’oa RC Arusha.
SIMU.tv: Majaliwa: Tunajadili maslahi ya watumishi wa umma, RC Arusha atumbuliwa, Makamba amshangaa waziri mkuu kung’ang’ania Dodoma,ATCL,UDA , bandari kutikisa bunge lijalo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.