ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 26, 2016

JENERALI ULIMWENGU APATA AJALI YA GARI, AKIMBIZWA MOI.

Taarifa iliyotufikia inaeleza kuwa, Mwandishi Mkongwe nchini na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema, Jenerali Ulimwengu amepata ajali mapema asubuhi ya leo, na kupelekwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.

Ajali hiyo imehusisha gari alilokuwa akiendesha yeye aina ya Benz na gari nyingine iliyoigonga gari hiyo upande wa Ubavuni.
Habari za hivi punde zinapenya zikisema kuwa Ulimwengu anaendelea vizuri na kwa chochote kitakachoendelea tutaendelea kukutaarifu mdau.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.