ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 23, 2016

MH. MKUU WA WILAYA AKABIDHI MADAWATI 200 SHULE YA MSINGI GONGOLAMBOTO

 Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akizungumza jambo wakati wa hafla hiyo 
 Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akipokelwa na viongozi mbalimbali 
 Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata ya Ukonga, Juma Mwipopo (kulia) akimsalimia  Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mh. Sophia Mjema wakati wa hafla ya kukabidhi madawati katika  Shule ya Msingi Gongolamboto Jeshini ambapo  hafla hiyo ya Harambee ya madawati inaongozwa na Kituo cha Televishen cha Channel ten kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mh. Paul Makonda

 Mhariri Mkuu Afrika, Media Chanenl Ten, Dina Chahali akimkaribisha kwa kumpokea Mh, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mh. Sophia Mjema katika hafla ya kukabidhi madawati katika Shule ya Msingi Gongolamboto Jeshini

   Mwenyekiti wa kamati ya Mkoa Madawati, Hamid Abdulrahman akimkadhi madawati mia mbili  Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema (kushoto)  ambapo hafla hiyo ya Harambee ya madawati inaongozwa na Kituo cha Televishen cha Channel ten kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mh. Paul Makonda , hafla hiyo imefanyika  Dar es Salaam  jana

Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema (kushoto) akimkabidhi madawati mia mbili, Mwalimu  Mkuu wa  Shule ya Msingi Gongolamboto Jeshini, Joel Balua, ambapo hafla hiyo ya Harambee ya madawati inaongozwa na Channel ten kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa , hafla hiyo imefanyika  Dar es Salaam  jana, wakwanza kulia ni Mwenyekiti Kamati ya Shule Benjamin Wasonge
 Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema (katikati) katika picha ya pamoja na Waalimu wa Shule hiyo.
 Mjumbe wa Kamati ya Uchangiaji madawati Mkoa wa Dar es Salaam Sakina Yusuphali akimpatia kinywaji mmoja wa  wanafunzi  hao

  Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema (katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi hao wa Shule hiyo


 Muonekano wa baadhi ya madarasa katika hatua ya mwisho
 Muonekano wa baadhi ya madarasa katika hatua ilipofikia
 Wakitoka katika kuangalia vyumba vilivyokuwa tayari na vikiwa vinamadawati 
 Baadhi ya wanafunzi wakiwa wameinua mikono baada ya kuulizwa swali na  Mh. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, niwangapi wanao fuatilia kuangalia Tv na niwangapi hua wakiona tangazo gani? (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.