Baada ya kutengana na miaka kadhaa sasa tangu walipokuwa kundi moja ndani ya Qualter lattin hatimaye Koffi Olomide ameweza kumshawishi mwanamuziki wake wa zamani Ferre Gola na kufanya naye Bonge la Kolabo linaloitwa Cobetox lakini cha ajabu Ferre hajaonekana kabisa kwenye video ya wimbo huo..... Jeh unataka kujua kisa na mkasa kwa hayo yote yaliyotukia, kwanini imekuwa hivyo? Tegea sikio 93.7 Jembe Fm Jumamosi hii ndani ya Saturday Xpress utabaini kitu. Ukiwa @gsengo featuring @mwakad25 saa 1 asubuhi hadi saa 4 kamili.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.