Beki wa kati wa klabu ya Manchester United ya England ambaye pia anachezea timu ya taifa ya England Chris Smalling jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kuanguka na kupasuka sehemu ya juu ya jicho la kulia akiwa katika mapumziko yake Indonesia.
Kwa mujibu wa mitandao mikubwa ya habari duniani kama dailymail.co.uk na mingine, imeripoti Smalling kuanguka na kupasuka sehemu ya jicho la kulia baada ya kula chakula ambacho kinatajwa kuwa kilikuwa na sumu.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.