ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, July 27, 2016

ALIYEMUUA MWANGOSI AHUKUMIWA JELA MIAKA 15.

Daud Mwangosi enzi za uhai wake.
Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemhukumu kwenda jela miaka 15 kwa kosa la mauaji ya bila kukusudia askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573 Pacificus Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten Daudi mwangosi.
Mwangosi alivyouawa.

Juzi mahakama hiyo ilimkuta na hatia ya kuua bila kukusudia Pacificius ambaye anayetuhumiwa kumuua Mwangosi katika tukio lilitokea katika Kijiji cha Nyololo, wilayani Mufindi Mkoani Iringa Septemba 2, 2012.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.