Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemhukumu kwenda jela miaka 15 kwa kosa la mauaji ya bila kukusudia askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mwenye namba G .2573 Pacificus Cleophace Simon (27) aliyemuua mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten Daudi mwangosi.
Mwangosi alivyouawa.
Juzi mahakama hiyo ilimkuta na hatia ya kuua bila kukusudia Pacificius ambaye anayetuhumiwa kumuua Mwangosi katika tukio lilitokea katika Kijiji cha Nyololo, wilayani Mufindi Mkoani Iringa Septemba 2, 2012.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.