ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 1, 2016

MIJADALA YA BUNGE LEO MJINI DODOMA.


Hii hapa hotuba ya bajeti ya wizara ya fedha na mipango kwa mwaka 2016/2017 iliyowasilishwa bungeni hii leo.  


Mbunge wa Muheza aihoji serikali juu ya ucheleweshaji wa uidhinishaji wa Muheza kuwa halmashauri ya mji ikiwa kuna ongezeko kubwa la watu.  


Mipango ya serikali kutatua kero ya wananchi walio na kaya masikini kutopata fedha za TASAF hususani katika mkoa wa Kigoma.  


Mbunge wa Mtwara vijijini Mhe. Hawa Gasia ahoji serikali juu ya ukarabati mkubwa wa uwanja wa ndege wa Mtwara.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.