Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba atengua maamuzi yake ya kujiuzulu katika chama hicho na kuamua kurejea tena. Mwanasiasa huyo mkongwe na mtaalamu wa uchumi amesema ameandika barua kwenye uongozi wa chama hicho ili arejeshwe kwenye nafasi yake aliyojiuzulu miezi kumi iliyo pita.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.