Mjadala wa mikoa ya masikini yaligawa bunge, Majanga matano uzimaji simu feki na Askofu Gwajima sasa mkononi mwa Polisi na Manji aibeba Simba. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.
Polisi wapiga kambi ya saa 7 nyumbani kwa Gwajima. Seif asisitiza Serikali ya mapito Zanzibar, Lugumi kuwarejesha wapinzani Bungeni na Mangula aweka mambo hadharani.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.