Hotuba ya bajeti ya wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji kwa mwaka 2016/2017 yawasilishwa mezani kwa ajili ya majadiliano.
Mbunge wa Kilwa Kaskazini Mhe. Vedasto ahoji mpango wa serikali wa kutengeneza barabara ya kiwango cha lami katika eneo la kihistoria la vita vya maji maji.
Je kwa nini serikali inachukua muda mrefu kurekebisha mishahara ya walimu baada ya kupandishwa vyeo? Mhe. Angela kairuki afafanua.
Haya hapa majibu ya serikali juu ya ushirikiano wa ofisi ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali katika ukaguzi wa taasisi za muungano.
Mhe. Charles Mwijage atoa ufafanuzi juu ya mpango wa serikali kujenga viwanda katika mkoa wa Katavi na kutoa mafunzo ya ujasiliamli kwa vijana.
Mhe. Charles Mwijage atoa ufafanuzi juu ya mpango wa serikali kujenga viwanda katika mkoa wa Katavi na kutoa mafunzo ya ujasiliamli kwa vijana.
Mbunge wa viti maalum Mhe.Upendo Peneza aitaka serikali kutekeleza ahadi yake ya kupunguza misamaha ya kodi hadi asilimia 1 ya GDP.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.