ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 12, 2016

MIJADALA BUNGENI LEO:-


Hii hapa randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya habari, tamaduni, sanaa na michezo kwa waka wa fedha 2016/2017. 


Mhe. Suleiman Jafo atoa majibu ya namna serikali ilivyojipanga kutatua tatizo la maji kwa wananchi wa vijijini. 


Mbunge wa Chamwino Mhe. Joel Mwaka aitaka serikali kutoa hatma ya ujenzi wa madaraja mawili yaliyopo kati ya barabara ya Chamwino kuelekea kaskazini. 


Je shirika la ndege la Tanzania ATCL ni shirika la pamoja kati ya Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar ina asilimia ngapi  katika shirika hilo? 


 Je ni lini serikali italeta marekebisho ya sheria ya NECTA ili kuondoa nguvu ya waziri kutoa maelekezo bila kuhoji? Mhe. Waitara aihoji. 


Hii hapa mikakati wa serikali juu ya kuanzisha benki ya wafanyabiashara wakubwa na wadogo ili kuwawezesha wajasiliamali kupata huduma bora. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.