ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 6, 2016

MAMIA WAMZIKA ANDREW NICKY SANGA (KING DREW) DODOMA

Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Enzi za Uhai wake
Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga (King Drew) ukiwa unawasili katika uwanja wa Mashujaa kwa ajili ya Ibada na Kutoa kutoa Heshima za mwisho
Ibada ikiwa inaanza Baada ya Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga kuwasili
 Kwaya wakiwa wanaimba wimbo wao wakati wa kujiandaa na ibada
Familia,Ndugu wa karibu, pamoja na Viongozi Mbalimbali wa Serikali wakiwa katika ibada ya kumsindikiza Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
Mmoja wa Marafiki wakubwa wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Victor Mponzi akiwa anasoma Historia na wasifu wa Marehemu
Mmoja wa Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa anatambulisha  wageni
Mmoja wa wageni aliyetambulishwa na alikuja na Mwili wa Marehemu kutoka Nchini Marekani 
Huyu ni Rafiki yake sana na Marehemu Andrew Nicky Sanga ambaye anatoka Marekani na alikuja pamoja na Mwili akitoa salamu zake za Rambirambi kutoka Houston
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akitoa salamu zake za rambirambi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi akiwa anatoa salamu za Rambirambi na kueleza namna alivyo mfahamu Marehemu Andrew Nicky Sanga
Mh. Mbunge wa Viti maalum akitoa salam za rambirambi na kusisitiza upendo kama aliokuwa nao mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga
Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akitoa neno la Mungu la wakati wa Ibada ya kuaga Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga.
 
 Ndugu ,Jamaa na Marafiki wakiwa katika ibada ya Mazishi ya  mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga uwanja wa Mashujaa 
 Baadhi ya ndugu,jamaa na marafiki wakiwa wanaaga Mwili wa Marehemu
 Wadogo wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wakiwa wanamuaga mpendwa wao
 Mbele ni moja ya marafiki wa mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga aliyetoka Marekani akitoa heshima za mwisho.
 Baba wa Mzazi mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akitoa heshima za mwisho
 Mbunge wa Mikumi Mh. Joseph Haule akitoa Heshima za mwisho
 Baba wa Marehemu Andrew Nicky Sanga akitoa heshima zake za mwisho kwa mwanae mpendwa
 Mzazi mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa na Mtoto wao mpendwa Zoe wakitoa heshima zao za mwisho
Watumishi wa Mungu wakiongozwa na Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani  wakitoa neno la Baraka kwa Marehemu Andrew Nicky Sanga
 Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wakitoa Heshima zao za mwisho
 Msafara ukielekea Makaburini
 Mwili wa Mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga ukihifadhiwa katika nyumba yake ya Milele
 Umati wa watu wakiwa Makaburini kwa ajili ya Mazishi
 Mh. Joseph Mbilinyi na Mh. Joseph Haule wakiwa Pamoja na Marafiki wengine wa Marehemu Andrew Sanga wakiwa Makaburini
Mama mzazi wa Marehemu Andrew Nick Sanga akiwa anaweka Shada la Maua
 Baba Mzazi wa Marehemu Andrew Nicky Sanga na Mke wake wakiwa wanaweka Shada la maua
 Mtoto wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wa katikati akiwa anaweka Shada la Maua
 Mzazi Mwenzake na Marehemu Andrew Nicky Sanga akiwa anaweka Shada la Maua
 Victor Luvena akiendelea kusoma utaratibu wa kuweka mashaja
 Wazazi wa Mzazi mwenzake na Andrew Nicky Sanga wakiweka Shada
 Wadogo zake na Marehemu wakiweka Shada la Maua
 Mh. Joseph Mbilinyi akiweka Shada la Maua
 Marafiki wa mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga waliokuja na Mwili kutoka Marekani wakiweka shada la Maua
 Marafiki wakubwa wa Marehemu Andrew Nicky Sanga wakiweka shada lao
 Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akiweka Shada
 Dkt. Sanga akitoa salamu za Shukurani kwa niaba ya Familia
 Baba Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika Dkt. Dickson Chilongani akisoma neno la kufunga ibada

 Marafiki wa Andrew Nicky Sanga wakiwa katika Picha ya Pamoja baada ya Mazishi
Kaburi la Marehemu mpendwa wetu Andrew Nicky Sanga Baada ya Mazishi
Kama kawaida wadau wa Kutwanga Foto walikuwepo wa kutosha
Picha zote na Fredy Njeje

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.