ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, May 3, 2016

MAMA WA TUPAC AFARIKI DUNIA

Kwa mujibu wa taarifa za awali ni kwamba mama huyo alifikishwa hospitalini saa 9:34 usiku na aliaga dunia majira ya saa 10.38 usiku wa jumatatu.

Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana ambapo madaktari wanaendelea na uchunguzi kubaini kiini cha kifo hicho.

Shakur Davis alikuwa ni ngao ya marehemu mwanae ambapo Tupac aliimba wimbo maarufu alioupa jina la 'Dear Mama' ambapo baada ya kifo cha Tupac mwaka 1996 mama huyo kwa kutumia mali alizoacha mwanae na kunda taasisi inayoitwa Tupac Amaru Shakur Foundation inayosaidia kuinua vipaji vya watoto.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.