ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 27, 2016

VIAPO VYA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA.


SIMU.TV: Makatibu tawala 12 wa mikoa mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni wala kiapo cha utii katika ukumbi wa ikulu jijini Dar es salaam, 


SIMU.TV: Ni kiapo cha utii na uaminifu katika utendaji wa kazi walizopangiwa ikiwa sambamba na utimizaji wa matakwa ya falsafa ya Hapa kazi tu. 


SIMU.TV: Makatibu tawala walioapishwa hii leo watoa ahadi ya uadilifu kuwa hawatakwenda kinyume na kiapo walichokula mbele ya rais Magufuli. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.