ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 8, 2016

PICHA ZA USHINDI WA CCM NYAMAGANA MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA LEO

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula (CCM) katikati mwenye shati na tai akitoka chumba cha Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza mara baada ya kushinda kesi ya uchaguzi.

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula (CCM) aliyenyoosha mkono juu (katikati) akiwapungia wananchi wakati akisindikizwa kuelekea ofisi za CCM Wilaya ya Nyamagana baada ya kushinda kesi ya uchaguzi jana kufatia uamuzi uliotolewa na Makakama Kuu Kanda ya Mwanza, kushoto kwake ni Katibu wa CCM Wilaya ya Ilemela, Acheni Maulid na kulia aliyeinua mkono juu ni Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Elias Mpanda wakiwa na wafuasi wa CCM. Picha Na Blandina Aristides.





Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu (kulia) akizungumza na wananchi juu ya uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza ilioutoa jana ya kuitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi ya Jimbo la Nyamagana nje ya jengo la ofisi ya CCM Mkoa katikati ni Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Elias Mpanda na kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula (CCM) baada ya kutoka Mahakamani.

Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu (kulia) akizungumza na wananchi juu ya uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza ilioutoa jana ya kuitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi ya Jimbo la Nyamagana nje ya jengo la ofisi ya CCM Mkoa katikati ni Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Elias Mpanda na kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula (CCM) baada ya kutoka Mahakamani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.