ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 18, 2016

WAMILIKI WASILAHA DAR ES SALAAM WAPEWA SIKU 90 TU.

Wakazi wa jiji la Dar es salaam wanaomiliki silaha kihalali wametakiwa kwenda vituo vya polisi kuhakiki silaha zao ndani ya siku 90 na wale wanaomiliki silaha hizo bila kibali kuzisalimisha kabla ya operesheni maalum ya kusaka silaha hizo kuanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.