ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, March 9, 2016

RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA MAALIM SEIF.


Rais John Magufuli amtembelea na kumjulia hali makamo wa kwanza wa raisi wa Zanzibar Maalim Seif katika hotel ya Serena jijini Dar es salaam ambako anapata mapumziko baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.