ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 8, 2016

HIKI NDICHO WALICHOSEMA MAWAKILI WA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA NYAMAGANA JIJINI MWANZA WENJE DHIDI YA MBUNGE WA SASA STANSLAUS MABULA.

Mashahidi wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi katika Jimbo la Nyamagana jijini Mwanza wanatarajiwa kuanza kusikilizwa siku ya jumatatu ya wiki ijayo tarehe 14/march 2016 baada ya kukamilika kwa taratibu nyingine za kisheria.

Awali jana kabla ya kesi hiyo kuanza, asubuhi mapema ilibidi jeshi la polisi kufanya kazi ya ziada ya kuwaondoa wananchi waliojazana ndani ya ukumbi wa mahakamani hapo ili kupaweka mahala hapo kuwa sehemu ya usalama.

 KWA TAARIFA ZAIDI BOFYA PLAY 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.