ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 24, 2016

HII KUTOKA TANESCO INAKUHUSU.


Shirika la UmemeTanzania linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa kuna maboresho katika mfumo wake wa LUKU

Shirika la  UmemeTanzania
Taarifa kwa Umma
Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa kuna maboresho katika mfumo wake wa LUKU utakapopelekea wateja kushindwa kununua Umeme siku ya Alhamisi tarehe 24, March 2016 kuanzia saa 5 usiku hadi tarehe 25 March, 2016 saa 11 Alfajiri.
Sababu za kukosekana kwa huduma hiyo ni : Matengenezo ya kuboresha mfumo wa Luku.
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.
Imetolewa na ofisi ya uhusiano TANESCO makao makuu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.