ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 12, 2016

TEKNO NA SEYI SHAY WAFANYA ZIARA JEMBE FM KUELEKEA MKESHA WA KUIKARIBISHA VALENTINES 13FEB 2016 AT JEMBE BEACH MWANZA.

Mkali wa muziki toka nchini Nigeria Tekno anayetamba na ngoma yake kali 'Duro', bigger than the rest and least of more to come akiwa katika studio za Jembe Fm Mwanza tayari kwa mahojiano na kituo hicho hii leo mchana.
Seyi Shay wamjua huyu ni mkali mwingine wa muziki toka nchini Nigeria akiwa katika studio za Jembe Fm Mwanza tayari kwa mahojiano na kituo hicho hii leo mchana.
Mbaba VC on the mic.
Tekno amekana kuwa na mahusiano yoyote ya kimapenzi na ..........yule wa Bongo.SAUTI YA ENTERVIEW KUKUJIA HIVI PUNDE.


Nigerian singer, Seyi Shay ambaye tayari keshatua jijini Mwanza nchini Tanzania hapa akizungumzia juu ya performance yake ya kimalavidavi itakayofanyika kesho tarehe 13Feb2016 ikijulikana kama Muzika Festival akitumbuiza pamoja na mkali mwingine kutoka nchini Nigeria Tekno Miles na kutoka Tanzania ni Sir Juma Nature, Ommy Dimpoz, na wengine kibao eneo la tukio ni Jembe Beach.
Pia Seyi alipata nafasi ya kufunguka zaidi kuhusu album yake mpya ya sasa ‘Seyi Or Shay’ and her upcoming performance in the country.
Kutoka Jembe DjZ Deejay K-Flip akiuliza jambo kwa hewa.
Prizenta wa Jembe Fm Bonz (R) na Mbaba Vc (L).
Tekno akishow love na Jembe DjZ Criss The Dj.
Tekno si alilianzishaaaaaa......ikawa balaaaaa
Wacha waungwana wajiunge naye......Wayaaaaaaaa!!!!!
Mzigo woooote tisa 10 Jumamosi hii at Jembe Beach Resort Mwanza.
Upete (R) na wakishow Love na Tekno ndani ya studio za Jembe Fm Mwanza.
Seyi Shay
Tekno Miles
Gsengo Blog ikifanya yake.
Ha...ha..haaaaa!!
Team Jemba iki-show Love na Seyi Shay.
Tekno na Deeyjay K-flip 
Mkuu wa Production Oxy Okeleky akipata U-foto na Tekno.
"This is Tekno" Gsengo 
Pale penyewe.....
We.
Kuna kitu wakiteta....!!
Kutoka anga hizi...
Maandalizi ya selfie hapa zikidilitiwa pix ili kupata space kwa fONi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.