ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 6, 2016

MAADHIMISHO YA MIAKA 39 YA CCM

Rais mstaafu Jakaya Kikwete aipongeza serikali ya awamu ya 5 kwa kutekeleza ilani ya CCM ndani ya siku chache za utawala wa rais Magufuli.
Rais Magufuli ameeleza kuwa serikali yake imedhamiria kufanya kazi na ametoa agizo kwa viongozi wote kuondoa kero za wananchi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.