ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 21, 2016

MSUKULE ULIOKUTWA NDANI YA CHEMBA YA MAJI MACHAFU JIJINI DAR.

Tukio hilo bado lina maswali mengi ndani yake.!. Baadhi ya wataalamu wa mambo wanasema kama angelikuwa msukule angekatwa ulimi, pia angekuwa na taahira ya akili kwa ufupi hajitambui wala hawezi kujifahamu yeye ni nani. 

Lakini kuna wengine wakasema kuwa suala la kukatwa ulimi ni hatua ya mbele mara baada ya mtu kutekwa msukule.

Lakini bado watu wanahoji wasipate majibu ya chapchap!! Kwa nini yuko humo shimoni? Nani aliyemuweka humo na kisha kumfunika kabisa asilione jua, na kwanini alikuwa uchi....?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.