ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 23, 2016

BASI LA BM LAPATA AJALI.

AJALI: Basi la BM linalofanya safari zake Dar-Morogoro, limepata ajali eneo Mikese Morogoro
Watu wawili wamefariki na wengine 43 wamejeruhiwa. Chanzo ni mwendo kasi. Sababu kuna gari lilikuwa limeharibika limeegeshwa pembeni. Kukawa kuna semi trailer inatoka Moro uelekeo DSM ikawa inalipita hilo gari lililoharibika. Kabla halijamalizika kulipita, BM ikawa imefika hapo ndio ikaingia katikati ya trailer.
Kwa mujibu wa mpenyezaji wa taarifa hii amesema kuwa ajali hiyo imetokea jana (usiku kuamkia leo) majira ya saa nne usiku.
TUTAENDELEA KUPENYEZA TAARIFA ZAIDI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.