ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 31, 2015

MAMBO YALIVYOKUWA KWENYE HAFLA YA KUKABIDHIWA CHETI CHA URAIS DKT MAGUFULI NA MAKAMU WAKE MHE SAMIA SULUHU HASSAN

 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa  Mhe. Fahmi Dovutwa katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Anna Mghwira  na wagombea wengine wakiwa  katika chumba cha VIP cha ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan wakiwa na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan na Mhe Anna Mghwira na  wagombea wengine wakielekea  ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  tayari kwa hafla ya kukabidhiwa hati ya Urais na Makamu wa Rais
 Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Jaji Damia Lubuva wakiwa tayari katika sehemu yao
 Meza kuu
 Mke wa Rais Mteule Mama Janet Mgufuli akisalimiana na Waziri wakuu wastaafu Mzee John Malecela na Jaji Joseph Sinde Warioba 
 Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete
 Rais Kikwete akisalimiana na Mama Janet Magufuli
 Mkrugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani akisoma muhtasari wa ratiba
 Meza ya viongozi
 Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama 

 Sehemu ya viongozi wa  taasisi mbalimbali na wastaafu
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali na wananchi waliohudhuria
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali
 Viongozi wa Taasisi mbalimbali za umma na binfasi
 Viongozi wa asasi mbalimbali za umma na binafsi
 Wananchi kutoka sehemu mbalimbali
Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing akiwa ameketi na wananchi
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Sehemu ya wananchi na makada wa CCM
 Wanahabari
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Sehemu ya watumishi wa Tume ya Uchaguzi
 Wananchi toka sehemu mbalimbali
 Wanahabari na wananchi 
 Wananchi wakiwa na furaha
 Wananchi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Wananchi wakimsikiliza Jaji Damina Lubuva

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Viongozi wa dini  na wananchi wakisikiliza
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hotuba yake
 Vifijo toka kwa viongozi
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akisoma hati kabla ya kuikabidhi wa Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Mhe. Kailima Ramadhani
 Wanahabari wa ndani na nje ya nchi wakirekodi tukio hilo la kihistoria
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Rais Mteule Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akionesha hai ya Urais akiwa na Makamu wa Rais Mteule Mama Samia Suluhu Hassan, Jaji Damian Lubuva na Mhe Kailima Ramadhani
 Viongozi wakishuhudia tukio hilo kwa furaha
 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Lubuva akisoma hati ya Makamu wa Rais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipokea hati  yake
  Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akionesha  hati  yake
 Rais Mteule na Makamu wake mteule wakipongezwa baada ya kukabidhiwa hati
 Rais mteule akipongezwa na waliokuwa wagombea wa Urais wa vyama vingine
 Rais Mteule Dkt Magufuli akimuonesha Mhe Anna Mghwira cheti cha Urais
 Rais Kikwete akimpongeza Rais Mteule
 "...Cheti ndiyo hiki...." anasema Rais Mteule kwa Rais Kikwete
 Wakikionesha cheti kwa furaha
 "....Huyu ndiye our new boss..." anasema Rais Kikwete
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais


 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais na kupeana mikono na Rais wa Zamani wa Nigeria Mhe Goodluck Jonathan

 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais kwa mabalozi
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli akipita kuonesha cheti chake cha Urais
 Makamu wa Rais Mteule Mhe Samia Suluhu Hassan akipongezwa
 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe Anna Mghwira akiongea kwa niaba ya wagombea wengine wa vyama mbalimbali  walioshiriki kwenye kugombea Urais
 Wanahabari
 Rais Mteule akimpongeza Mhe Anna Mghwira kwa hotuba nzuri
 Rais Mteule Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi wa tume na vyama vya siasa
 Wateule na Tume ya Taifa ya Uchaguzi